Sunday, 29 May 2016

Meneja wa banki tawi la mbagala kitengo cha huduma kwa wateja azungumza na wanafunzi katika kongamano la SAUITI YA MTOTO WA KIKE lilofanyika duce changómbe

Meneja wa benki ya NMB tawi la mbagala kitengo cha huduma kwa wateja azungumza na wanafunzi katika swala zima la kujitambua na kufwata yale wanayofundishwa na walimu wao mashuleni, amezungumza hayo jana katika kongamano lililo andaliwa na taasisi moja isiyo ya kiserikali RUPA TANZANIA hapo awali meneja huyo alligusia swala zima la wanafunzi wengi hupoteza muda katika mambo yasiyo na umuhimu ambayo hupelekea wanafunzi wengi kushindwa kufanya vzuri katika masomo yao na mwisho wa siku hujiingiza katika mambo yasiyofaha katika jamii na hupelekea kupata mimba zisizo rasmi kwaupande wa watoto wakike pia meneja huyo aliomba taasisi hiyo isiishie hapo tu kwa upande wa watoto wa kike peke yake wajaribu kuangalia na upande wapili kwani kuna baadhi ya watoto wa kiume wenye umri mdogo wanaonyanyaswa na wakubwa wao na hata wakati mwengine huwa fanyia mambo yaliyo kinyume na maumbile yao alizidi kusisitizia meneja huyo..

Meneja wa Benki ya NMB kitengo cha huduma kwa wateja tawi la mbagala akiongea na wanafgunzi

Pia Dkt Mkuu kitengo cha damu salama katika hospitali ya mbagala chamazi aliwasisitizia wanafunzi hao katika kuwa wavumilivu katika swala zima la maisha kikubwa ni kuzingatia katika masomo kwani wakisoma vizuri na kupata elimu yao ipasavyo basi huko mbeleni wataona matunda yake ya kusoma pia aliwashauri na walimu wao pia kuwapa elimu rika wanafunzi wao wa jinsia zote mbili juu ya athari za ndoa na mimba za utotoni kwani wengi wao siku hizi wanapata mimba na wahusika ni wao kwa wao "unakuta siku hizi kesi nyingi zilizopo mitaani za mimba za wanafunzi wahusika ni wanafunzi kwa wanafunzi ndiyo wanaopeana hizo mimba sasa inabidi walimu na wazazi tuliyopo hapa tushirikiane wote kwa pamoja kuwapa elimu rika vijana wetu hawa"

Dkt mkuu kitengo cha damu salama katika hospitali ya chamazi iliyopo mbagala

2 comments:

  1. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete
  2. Nilimkuta mke wangu akinidanganya baada ya kugundua jumbe kati yake na mpenzi wake wa zamani kwenye simu yake. Nilihuzunika sana kwa sababu sikuweza kuelewa nilichofanya ili kustahili hilo. Nilipomkabili kuhusu hilo, alikasirika na kusema alitaka talaka.

    Nilimpenda sana, na sikuweza kuvumilia wazo la kumpoteza mke wangu na watoto kwa mwanaume mwingine. Kisha nikajulishwa kwa mtu aliyedai kusaidia kufufua mapenzi katika ndoa zenye matatizo.

    Saa chache baada ya Dkt. Dawn kusema amekamilisha uchawi, mke wangu alinipigia simu nilipokuwa kazini, akiniomba nimsamehe na kusema anaomba msamaha kwa kutaka kuondoka kwenye ndoa yetu.

    Nilishtuka kabisa. Machozi yalinitoka mara moja kwa sababu niliamini kweli kwamba nilikuwa nimepoteza familia ambayo nilikuwa nimejitahidi sana kuijenga.

    Ikiwa unapitia matatizo ya uhusiano na unahitaji msaada, unaweza kuwasiliana na Dkt. Dawn kupitia WhatsApp: ( +2349046229159 ). dawnacuna314@gmail.com

    kwa suluhisho la haraka na lenye nguvu.

    Huduma zinazotolewa:
    • Uchawi wa mapenzi
    • Kurejesha upendo na furaha katika mahusiano na ndoa
    • Kuvutia mpenzi mpya
    • Usomaji wa mahusiano
    • Tambiko za bahati nasibu
    • Kurejesha mali iliyoibiwa
    • Mwongozo wa hatua kwa hatua kwa masuala na changamoto za kibinafsi

    ReplyDelete