Kama ilivyo kawaida katika mkoa wa Dar es salaam kila ifikapo mwisho wa mwezi huwa ni siku ya usafi kimkoa mzima wa Dar es salaam ilikukamilisha agizo la mkuu wa mkoa Mh. Paul Makonda katika siku hiyo taasisi moja isiyo ya kiserikali RUPA TANZANIA ilikamilisha agizo hilo kwa kujumuika na wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari katika kufanya usafi maeneo tofauti tofauti ya wilaya ya temeke..Hapo chini ni baadhi ya matukio katika picha.
Baadhi ya wanafunzi toka shule mbali mbali za msingi na sekondari waliojumuika pamoja na wafanyakazi wa RUPA katika swala zima la usafi katika kukamilisha agizo la mkuu wa mkoa Mh. Paul Makonda, usafi huo ulifanyika katika maeneo ya chang'ombe wilaya ya temeke mkoa wa
Dar es salaam...
Baadhi ya wanafunzi wakionekana wenye furaha huku wakielekea katika maeneo mbali mbali waliopangiwa na viongozi wao katika shughuli nzima ya usafi...
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi matitu na kilamba wakiendelea na zoezi zima la usafi..
Baadhi ya viongozi na wanafunzi wakitoka katika maeneo waliofanya usafi..
Nilimkuta mke wangu akinidanganya baada ya kugundua jumbe kati yake na mpenzi wake wa zamani kwenye simu yake. Nilihuzunika sana kwa sababu sikuweza kuelewa nilichofanya ili kustahili hilo. Nilipomkabili kuhusu hilo, alikasirika na kusema alitaka talaka.
ReplyDeleteNilimpenda sana, na sikuweza kuvumilia wazo la kumpoteza mke wangu na watoto kwa mwanaume mwingine. Kisha nikajulishwa kwa mtu aliyedai kusaidia kufufua mapenzi katika ndoa zenye matatizo.
Saa chache baada ya Dkt. Dawn kusema amekamilisha uchawi, mke wangu alinipigia simu nilipokuwa kazini, akiniomba nimsamehe na kusema anaomba msamaha kwa kutaka kuondoka kwenye ndoa yetu.
Nilishtuka kabisa. Machozi yalinitoka mara moja kwa sababu niliamini kweli kwamba nilikuwa nimepoteza familia ambayo nilikuwa nimejitahidi sana kuijenga.
Ikiwa unapitia matatizo ya uhusiano na unahitaji msaada, unaweza kuwasiliana na Dkt. Dawn kupitia WhatsApp: ( +2349046229159 ). dawnacuna314@gmail.com
kwa suluhisho la haraka na lenye nguvu.
Huduma zinazotolewa:
• Uchawi wa mapenzi
• Kurejesha upendo na furaha katika mahusiano na ndoa
• Kuvutia mpenzi mpya
• Usomaji wa mahusiano
• Tambiko za bahati nasibu
• Kurejesha mali iliyoibiwa
• Mwongozo wa hatua kwa hatua kwa masuala na changamoto za kibinafsi