Sunday, 29 May 2016

Meneja wa banki tawi la mbagala kitengo cha huduma kwa wateja azungumza na wanafunzi katika kongamano la SAUITI YA MTOTO WA KIKE lilofanyika duce changómbe

Meneja wa benki ya NMB tawi la mbagala kitengo cha huduma kwa wateja azungumza na wanafunzi katika swala zima la kujitambua na kufwata yale wanayofundishwa na walimu wao mashuleni, amezungumza hayo jana katika kongamano lililo andaliwa na taasisi moja isiyo ya kiserikali RUPA TANZANIA hapo awali meneja huyo alligusia swala zima la wanafunzi wengi hupoteza muda katika mambo yasiyo na umuhimu ambayo hupelekea wanafunzi wengi kushindwa kufanya vzuri katika masomo yao na mwisho wa siku hujiingiza katika mambo yasiyofaha katika jamii na hupelekea kupata mimba zisizo rasmi kwaupande wa watoto wakike pia meneja huyo aliomba taasisi hiyo isiishie hapo tu kwa upande wa watoto wa kike peke yake wajaribu kuangalia na upande wapili kwani kuna baadhi ya watoto wa kiume wenye umri mdogo wanaonyanyaswa na wakubwa wao na hata wakati mwengine huwa fanyia mambo yaliyo kinyume na maumbile yao alizidi kusisitizia meneja huyo..

Meneja wa Benki ya NMB kitengo cha huduma kwa wateja tawi la mbagala akiongea na wanafgunzi

Pia Dkt Mkuu kitengo cha damu salama katika hospitali ya mbagala chamazi aliwasisitizia wanafunzi hao katika kuwa wavumilivu katika swala zima la maisha kikubwa ni kuzingatia katika masomo kwani wakisoma vizuri na kupata elimu yao ipasavyo basi huko mbeleni wataona matunda yake ya kusoma pia aliwashauri na walimu wao pia kuwapa elimu rika wanafunzi wao wa jinsia zote mbili juu ya athari za ndoa na mimba za utotoni kwani wengi wao siku hizi wanapata mimba na wahusika ni wao kwa wao "unakuta siku hizi kesi nyingi zilizopo mitaani za mimba za wanafunzi wahusika ni wanafunzi kwa wanafunzi ndiyo wanaopeana hizo mimba sasa inabidi walimu na wazazi tuliyopo hapa tushirikiane wote kwa pamoja kuwapa elimu rika vijana wetu hawa"

Dkt mkuu kitengo cha damu salama katika hospitali ya chamazi iliyopo mbagala

SAUTI YA MTOTO WA KIKE NI NGUVU YA TAIFA..


Katika swala zima la kumsaidia kumjenga mtoto wakike katika kushinda vishawishi na mambo mabaya yanayo wakabili hasa swala zima la ndoa na mimba za utotoni ambapo jamii nyingi ya kitanzania limekuwa sugu kuanzia mijini hadi vijijini. Kutokana na swala hilo taasisi ya RUPA TANZANIA ikishirtikiana na asasi nyingne zisizo za kiserikali na kiserikali pia jana lilifanya kongamano liitwalo SAUTI YA MTOTO WA KIKE la kupinga vikali vita hivyo ambapo lilipata kuudhuriwa na baadhi ya wanaharakati wanaosaidia kupigana na matatizo hayo katika jamii inayotuzunguka..Kwani mtoto wakike ndiyo chanzo cha kujenga familia katika jamii...


Baadhi ya matukio ya kongamano la SAUTI YA MTOTO WA KIKE katika picha lililofanyika hapo jana katika ukumbi wa duce changómbe wilayani temeke mkoa wa Dar es salaam...

Baadhi ya wafanyakazi wa shirika la RUPA TANZANIA, Kutoka kulia ni Bi Rehema, Bi Waldah Faham, Bi. Fatmah Mukharamy, Ndg Lazaro Musalaka, Bi. Christina Nguyu. Hao ni baadhi ya watumishi wa Rupa Tanzania.

Taasisi isiyo ya kiserikali RUPA TANZANIA yajumuika na wanafunzi katika kukamilsha agizo la mkuu wa mkoa Mh. Paul Makonda katika kufanya usafi..

Kama ilivyo kawaida katika mkoa wa Dar es salaam kila ifikapo mwisho wa mwezi huwa ni siku ya usafi kimkoa mzima wa Dar es salaam ilikukamilisha agizo la mkuu wa mkoa Mh. Paul Makonda katika siku hiyo taasisi moja isiyo ya kiserikali  RUPA TANZANIA ilikamilisha agizo hilo kwa kujumuika na wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari  katika kufanya usafi maeneo tofauti tofauti ya wilaya ya temeke..Hapo chini ni baadhi ya matukio katika picha.
 

 
Baadhi ya wanafunzi toka shule mbali mbali za msingi na sekondari waliojumuika pamoja na wafanyakazi wa RUPA katika swala zima la usafi katika kukamilisha agizo la mkuu wa mkoa Mh. Paul Makonda, usafi huo ulifanyika katika maeneo ya chang'ombe wilaya ya temeke mkoa wa
Dar es salaam...



 Baadhi ya wanafunzi wakionekana wenye furaha huku wakielekea katika maeneo mbali mbali waliopangiwa na viongozi wao katika shughuli nzima ya usafi...


Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari chang'ombe na chamazi wakiwa katika maeneo ya ofisi ya serikali za mitaa za keko wakifanya usafi...
  


 Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi matitu na kilamba wakiendelea na zoezi zima la usafi..

 


  Baadhi ya viongozi na wanafunzi wakitoka katika maeneo waliofanya usafi..

Tuesday, 1 December 2015

TEKNOHAMA KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

Mtaala ni mwongozo mpana unaoweka viwango vya utoaji elimu kwa kuzingatia maeneo yafuatayo:- maudhui na ujuzi watakaojifunza wanafunzi yaani maarifa stadi na mwelekeo, njia za kufundishia na kujifunzia zatakazotumika katika utekelezaji wa mtaala vifaa vya kufundishia  na kujifunzia vinavyohitajika sifa za kitaaluma na kitaalamu za mwalimu atakayeuwezesha mtaala miundo mbinu wezeshi katika utekelezaji wa mitaala muda utakaotumika katika ufundishaji na ujifunzaji, upimaji na ufwatiliaji na tathimini ya mitaala.

Wnafunzi wa shule ya msingi sokoni 1 wakijaribu kujifunza katika mfumo wakutumia tablet katika masomo yao ya darasani.


SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Katika kuazimisha siku ya ukimwi duniani shirika lisilo la kiserikari RUPA TANZANIA limetembelea shule Mbalamaziwa iliyopo mkoa wa Iringa wilaya ya Mafinga, na kuweza kuongea na vijana wasomao hapo juu ya swala zima la ugonjwa wa ukimwi pamoja athari za ndoa na mimba za utotoni hii yote ni kuhakisha kwamba tatizo hili linapungua kwa kasi na kama siyo kuisha kabisa, inasemekana Iringa ni moja ya mikoa inayokumbwa na vijana wengi kutomaliza shule hasa watoto wakike kwa kukumbwa na athari za miba na ndoa za utotoni.
 Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Mbalamaziwa wakijadili mambo yanayowakumba wanafunzi hasa wasichana katika swala zima la mimba za mashuleni

Thursday, 28 May 2015

New research from the University of East Anglia shows that an evolutionary force known as 'sexual selection' can explain the persistence of sex as a dominant mechanism for reproducing offspring.





Biologists have long puzzled about how evolutionary selection, known for its ruthless requirement for efficiency, allows the existence of males -- when in so many species their only contribution to reproduction are spermatozoa.
But research published today in Nature shows that sexual selection -- when males compete and females choose over reproduction -- improves population health and protects against extinction, even in the face of genetic stress from high levels of inbreeding.
The findings help explain why sex persists as a dominant mechanism for reproducing offspring.
Lead researcher Prof Matt Gage, from UEA's School of Biological Sciences, said: "Sexual selection was Darwin's second great idea, explaining the evolution of a fascinating array of sights, sounds and smells that help in the struggle to reproduce -- sometimes at the expense of survival.
"Sexual selection operates when males compete for reproduction and females choose, and the existence of two different sexes encourages these processes. It ultimately dictates who gets to reproduce their genes into the next generation -- so it's a widespread and very powerful evolutionary force.
"Almost all multicellular species on earth reproduce using sex, but its existence isn't easy to explain because sex carries big burdens, the most obvious of which is that only half of your offspring -- daughters -- will actually produce offspring. Why should any species waste all that effort on sons?
"We wanted to understand how Darwinian selection can allow this widespread and seemingly wasteful reproductive system to persist, when a system where all individuals produce offspring without sex -- as in all-female asexual populations -- would be a far more effective route to reproduce greater numbers of offspring.
"Our research shows that competition among males for reproduction provides a really important benefit, because it improves the genetic health of populations. Sexual selection achieves this by acting as a filter to remove harmful genetic mutations, helping populations to flourish and avoid extinction in the long-term."
To uncover this role of sexual selection, the research team evolved Tribolium flour beetles over 10 years under controlled conditions in the laboratory, where the only difference between populations was the intensity of sexual selection during each adult reproductive stage.
The strength of sexual selection ranged from intense competition and choice where 90 males competed for reproduction with only 10 females, through to the complete absence of sexual selection, with only single males and females in monogamous pairings, where females got no choice and males experienced no competition.
After seven years of reproduction under these conditions, representing about 50 generations, the study exposed the underlying genetic health of the resulting populations. The team used experimental inbreeding to reveal the relative amount of deleterious mutations that lay hidden in each population.
They found that populations that had previously experienced strong sexual selection maintained higher fitness and were resilient to extinction in the face of inbreeding -- with some populations surviving even after 20 inbreeding generations where a brother was mated with a sister in each generation.
However populations that had experienced weak or non-existent sexual selection showed more rapid declines in health under inbreeding -- and all went extinct by the 10th generation.
Prof Gage said: "These results show that sexual selection is important for population health and persistence, because it helps to purge negative and maintain positive genetic variation in a population.
"To be good at out-competing rivals and attracting partners in the struggle to reproduce, an individual has to be good at most things, so sexual selection provides an important and effective filter to maintain and improve population genetic health.
"Our findings provide direct support for the idea that sex persists as a dominant mode of reproduction because it allows sexual selection to provide these important genetic benefits.
"In the absence of sex, populations accumulate deleterious mutations through a ratcheting effect where each new mutation takes a population closer to extinction. Sexual selection helps to remove those mutations, enabling populations to persist against the threat of extinction.
"Our monogamous treatment, for example, where there was no sexual selection for 50 generations, resulted in a lower level of population health and rapid extinction when populations were challenged by inbreeding. All the populations derived from monogamous histories became extinct after just eight generations.
"By contrast, populations derived from the same ancestors and identical apart from having the opportunity for male competition and female choice at each adult stage, maintained population health and avoided extinction, with some family lines still reproducing happily even after 20 generations of inbreeding."
This research was funded by the Natural Environment Research Council, the Leverhulme Trust and the University of East Anglia.